Yaani kumbe kama Taasisi tajwa hapo juu zisipokuwa na Matukio jukwaa hili linapooza kiasi hiki? jamani kama TCU, HESLB au NACTE hawana matukio basi jitahidini mlio na upeo wakielimu muwe mnapost hata Tafiti mbali mbali ili tunufaike wakati tukisubiri matukio ya hizi taasisi ambazo kuwepo kwake...
Zito ni Mtu ayependa sana Attention hasa Media na asipooneka kwenye vichwa vya habari yuko tayari Kuzusha utakumbuka aliwahi kuja na utafiti eti akigombea majimbo flani angeshinda, ilikuwa ni dhana ya kitoto flani na kila mara anaanzisha ishu ili kuleta attention then analamba headlines...
Kwa kusamehe watesi wake; Nelson Rolihlahla Mandela (Madiba) alijiwekea hazina Duniani na Mbinguni, Lakini Sifa zoote hizi hasa toka ulimwengu wa magharibi hazilengi nadharia hii. Bali sifa hizi zinalenga kukarimu ubepari wao ambao haukuathirika kwa kuachiwa kwake.
Ieleweke kuwa mataifa...
Pole sana alpha1 na wadau woote hasa mleta UZI, mlioguswa na kauli zangu, Nashukuru kwa response zenu ambazo zoote hazilengi kuwasaidia wahanga binafsi nilimtumia kitu kinaitwa shambulia mtoa mada ili wenye taarifa watoe ukweli, alpha1 ulikuja na response mzuri sana counter attack ambayo...
Katiba ya Ja,mhuri ya muungano wa tz inasemaje kuhusu mihula ya uongozi wanasiasa hasa rais? au tayari kipengele hicho kilishafutwa kama M7 wa uganda alivyofanya?
Una akili au aubongo mleta mada, nani amewapotezea muda? walikuwa wapi kwenye raundi zoote za aapplication hadi wajikute 4th round kama walikuwa wanafanya makosa wao kuapply je? wenye akili woote walishariport vyuoni na wanakaribia kumaliza semister, 4th round wajijue wamwpata vyuo kuriport...
Balile ni wale wale kijana nani asiye mfahamu akiwa mtanzania wakati wa Campain alitukana hadi kilamtu hasa upinzani kwa project ya mamilioni aliyopewa na baada ya kumaliza bazi aliyopewa alijiuzulu na kuanzisha hicho Kigazeti eti naye anajifanya anafany areportingy auchunguzi nani asyejua kuwa...
Huu uzi haufai hapa dada hili ni jukwaa la Siasa labda ungesema leo Kilewo katuingizia wanachama wangapi kwa kazi kubwa anayofanya ya kuikomboa nchi hii sio kuombana makalio hili peleka kule EATV na wanawake LIVe faanya hivyo sasa..........tafadhali
Acha kudanganya Umma hasa wasiojua niko Ujerumani mwenyewe na ninasoma kwa ufadhili huo. hela kwa semister hii zimetumwa toka mwezi wa Tisa mwanzoni na zilitumwa almost two weeks kabla haya unayatoa wapi kaka au unahela zako unadai wizara ya elimu na hawajakulipa ili tujipange kukusaidia kudai?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.