Recent content by mkiwata

  1. mkiwata

    House4Sale Nyumba inauzwa

    Bei ni million 15
  2. mkiwata

    House4Sale Nyumba inauzwa

    Kwa maelezo mengine piga simu
  3. mkiwata

    House4Sale Nyumba inauzwa

    Million 15 boss
  4. mkiwata

    House4Sale Nyumba inauzwa

    Nyumba na eneo lake hipo Moshi bonite, eneo lina 20 kwa 20, Bei million 15, Piga 0683007848. Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
  5. mkiwata

    Kuanzisha shule ya awali

    Sio fake ID MKIWATA ni NGO ambayo mimi ndo mwanzilishi
  6. mkiwata

    Kuanzisha shule ya awali

    Naitwa Johnson John Siame, nipo mkoa wa Kilimanjaro, wilaya ya Moshi mjini, nina wazo la kuanzisha shule ya awali, ila naitaji watu walio serious kufanikisha wazo hili, nipigie 0744757738
  7. mkiwata

    Kiwanja million 5 Moshi

    Mkuu me siitaji cha hizo 400m Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mkiwata

    Kiwanja million 5 Moshi

    Naitaji kiwanja ukubwa 20*20 na kuendelea cha million 5 Moshi(bonite, chekeleni, boma na maeneo mengine) mwenye anajua kinapopatikana anipigie simu 0744757738 Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mkiwata

    Tunatafuta mfadhili

    MKIWATA ni NGO inashughulika na jinsi ya kusaidia kutatua matatizo ya vijana kama, matumizi ya madawa ya kulevya, magonjwa, ujasiriamali, ukosefu wa ajira. MKIWATA peke yake haiwezi fanikisha ili bila kuwa na mfadhili. MKIWATA inaomba kama upo tayari au unajua jinsi ya kupatikana kwa mfadhili...
  10. mkiwata

    Nafasi za kijitolea

    Nafasi ya kujitolea kwenye shirika lisilokuwa la-kiserikali mkiwata mkiwata-muwezeshe kijana wa tanzania Mkiwata ni shirika linaloshughulika na kusaidia kutatua matatizo au changamoto za kijana wa tanzania shirika la mkiwata linafanya kazi zake katika wilaya ya moshi. Shirika limetoa nafasi...
Back
Top Bottom