NipoooNaitwa Johnson John Siame, nipo mkoa wa Kilimanjaro, wilaya ya Moshi mjini, nina wazo la kuanzisha shule ya awali, ila naitaji watu walio serious kufanikisha wazo hili, nipigie 0744757738
Kuna haja gani kutumia fake ID humu?Naitwa Johnson John Siame, nipo mkoa wa Kilimanjaro, wilaya ya Moshi mjini, nina wazo la kuanzisha shule ya awali, ila naitaji watu walio serious kufanikisha wazo hili, nipigie 0744757738
Ni vitu gani ambavyo vinahitajika ili kuanzisha ukiachana naIn vizuri sana kama una eneo zuri pia ukapata walimu walio commited mtapiga pesa mingi sana
Pia iwe ni day care
Pata vibali toka mamlaka husikaNi vitu gani ambavyo vinahitajika ili kuanzisha ukiachana na
1.kupata darasa kubwa la kufundishia pamoja na vitabu na vifaa vya kufundishia
2.walim
Je ukiachana na hivo je ni vitu gani muhimu vingine
Pamoja na vibali toka mamlaka husika kama Lihakanga alivyosema hapo juu, kitu kikubwa ni *Falsafa* itakayoongoza shule yako:Ni vitu gani ambavyo vinahitajika ili kuanzisha ukiachana na
1.kupata darasa kubwa la kufundishia pamoja na vitabu na vifaa vya kufundishia
2.walim
Je ukiachana na hivo je ni vitu gani muhimu vingine
Nmekuelewa mkuuPamoja na vibali toka mamlaka husika kama Lihakanga alivyosema hapo juu, kitu kikubwa ni *Falsafa* itakayoongoza shule yako:
1. Montessori-type au ya kikoloni?
2. Wanafunzi watakuwa wanapigwa au hawapigwi?
3. Whole-health (mental, physical, psychological) au kuangalia maksi tu?
4. Pesa kama tai, au sivyo?
n.k.
: