Lisu anazungumza bila ya kupitia maombi ya akina mdee yaliyopo mahakamani na ambayo spika alijuzwa. Kwa mfano kama maombi yaliyopo ni pamoja kuomba ubunge wao uendelee hadi kesi yao itakapo kwisha, na mahakama ikaridhia ombi hilo, unataka spika afanye nini. Mifano aliyo toa lisu ni irrelevant...
Mbowe alichomfanyia halima inafanana na dume aliye owa bint mdogo, akamzalisha watoto wengi na mali nyingi, afu anambwaga, dume akitariji kula maisha. Mbowe sio tu ana roho mbaya katika swala la fedha na siasa bali pia ni chauvinist.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.