Recent content by mkisi2

  1. M

    Nairobi, Kenya: Tundu Lissu azungumza na kula chakula kwa mara ya kwanza

    Lisu wenyewe wana bunduki wewe una Mungu tuko pamoja nawe hata kama hatuna pesa ila tuna Mungu
  2. M

    Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

    Kwa hili ni dhahiri shairi lisu anaombewa kuliko mtu yeyote hapa Tanzania hata hao wanaoomba maombi hawaombewi kama lisu Mungu ubarikiwe kwa sababu wapiga risasi walishindwa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Tundu Lissu apata dhamana baada ya kushikiliwa na Jeshi la Polisi kwa masaa 48

    Anastaili kuombewa zaidi ya mtu mwingine yeyote Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Lissu; Nia njema ya Magufuli inatupeleka pabaya

    Ubarikiwe sana Tundu lisu Mungu akulinde
  5. M

    Mwanzo wa mwisho wa Zitto na ACT yake

    Nikweli zzk na chama cha kinafika wala si uongo
  6. M

    Huu ndio msimamo wa Rais Magufuli juu ya vyeti feki

    T Mungu ana mengi sana tuache aitwe mungu
  7. M

    Polisi wazuia matembezi ya amani ya BAWACHA Dar es Salaam

    Viva chadema,viva mdeee, viva mama el,viva wanawake wa cdm only time shall tell remember this your blood shall irrigate the roots of freedom
  8. M

    LOWASSA agoma kujibu swali la RICHMOND mkoani Dodoma

    subiri wakati utafika richmond itatolewa maji bu ni swala la wakati tu
  9. M

    Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais UKAWA-Mbeya

    lowasa ni president hakuna wa kubisha
  10. M

    Makonda: Zitto ndiye mwanasiasa makini kwa upinzani

    hujui usemlo.......yuko vizuri kwa lipi kwa usaliti?
  11. M

    Makonda: Zitto ndiye mwanasiasa makini kwa upinzani

    usaliti wa zito ndio umakini? .......... ccm watampenda zito kwa sababu ana vuruga upinzani hivo makonda aacha unafiki
Back
Top Bottom