Kahama municipal,huko kuna madudu ya aliyekua mkurugenzi Andason na wahuni wenzake Yusufu , Msangi na wengine ni hatari. Viwanja vya nyumba za watumishi wa serikali wamevimega wakajimilikisha na vingine kuuza
Je wajua kuwa kuna baadhi ya shule zilisitisha mishahara kwa walimu. Shuke ambazo zilisitisha mishara ni vyema ada ikagawanywa kwa nne ili robo moja isilipwe kwani shule haikuwajibika kumlipa mwalimu wala kumfundisha mwanafunzi
Roho ya marehemu huwa inapewa nafasi mara moja kufika eneo la ibada ya mwisho/ mazishi kujionea kwa mda mfupi na kuondoka. Naamini atajionea. R I P Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu moleli aliponunuliwa aliuza hadi akili , kichwani hamna kitu kilichobaki bora hata yule mvuta bangi wa darasa la saba.hana hoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Halmashauri ya mji wa KAHAMA kuwa ya pili kutoka mwisho ni aibu Sana ukizingatia Kuna vyanzo vikubwa vya mapato mfano migodi. MKURUGENZI wa mji ajitafakari amekalia tu migogoro isiyokua na tija na kuwatukana watumishi na kuwafukuza kazi watumishi aliowakuta hayo ndo matokeo ya kufanya kazi bila...
Suti navaa ,huwezi kunipangia mavazi .ni wivu tu unakusumbua Kwa sababu unataka wewe tu ndo uonekane umevalia suti.
Kwa haya matamko Kuna siku utaskia mtumishi haruhusiwi kuja ofisini na gari.mara mtumishi haruhusiwi kuvaa underwear nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.