Recent content by Mkemia kay

  1. Mkemia kay

    Rais Samia ni kiongozi wa mioyo ya watanzania na wana Afrika Mashariki kwa ujumla

    Watu kama awa ndo mnatufanya tujute Kuzaliwa kwenye nchi hii,
  2. Mkemia kay

    Rais Samia ni kiongozi wa mioyo ya watanzania na wana Afrika Mashariki kwa ujumla

    Unazungumzia Maoni ya wapumbavu na machawa waliolipwa kupush # ili ionekane Samia anafanya kazi hakuna mtu anauejielewa anayeweza kukubaliana na ujinga huu
  3. Mkemia kay

    Rais Samia ni kiongozi wa mioyo ya watanzania na wana Afrika Mashariki kwa ujumla

    Ungemalizia kwa kusema kuwa aya ni Maoni yako, lakini ata kama ni Maoni yako kufikiri huwezi ata kuona pia huoni pole Sana kwa Hali hii ili Taifa haliwezi kukombolewa ata siku moja
  4. Mkemia kay

    Jirani anazalisha K Vant feki na kuziingiza sokoni, nimripoti wapi?

    Acha wivu asee na wewe zalisha konyagi feki kama rahisi
  5. Mkemia kay

    Prof Kitila: Serikali Imepokea Ushauri wa Kujenga Daraja kati ya Dar-Zanzibar

    Sidhani kama kwa sasa kuna haja kubwa ya daraja ILO kwa Sababu hatuna biashara kubwa tunafanya na Zanzibar itakuwa ni matumizi mabaya ya fedha za umma na kuingia mikopo isiyokuwa ya lazima
  6. Mkemia kay

    Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

    Kama watu wanabarikiwa na kupona kupitia nyimbo zako na mafundisho yako siyo ishu ya saikolojia ni ishu ya faith, ujue Mungu yupo kupitia Imani kama unaamini Mungu yupo basi atakuwepo kama hauamini ni kweli Mungu hayupo, imarisha Imani yako, then hongera Kwa kuwa mama Bora . Nicheki kupitia...
  7. Mkemia kay

    Kazi za wahudumu wa afya ngazi ya jamii

    Habari ndugu zangu, Ninaomba kuuliza kuhusu hizi Ajira mpya za wahudumu wa afya ngazi ya jamii zilizotangazwa na Tamisemi kwa mtu mwenye uelewa 1. Kiwango cha mshahara ni bei gani? 2. Kama mtu Una degree nyingine tu unaweza kujificha ukatulia tu cheti chako cha form four kuomba kama...
  8. Mkemia kay

    Naomba msaada Luxury Buses kutoka Dar kwenda Kigoma

    Dah Hii imekaa vzr ngoja nikafatilie sasa
  9. Mkemia kay

    Naomba msaada Luxury Buses kutoka Dar kwenda Kigoma

    Naomba msaada Luxury Buses kutoka Dar kwenda Kigoma
  10. Mkemia kay

    Natafuta mchumba (KE)

    Bado sijapata mtu serious ambaye kanitafuta naemdelea kuomba yeyote ambaye yupo tayari ana vigezo au anaelekeana na vigezo hit my pm please
  11. Mkemia kay

    Natafuta mchumba (KE)

    akiwa na kitu anafanya means ana ufahamu so anaweza manage mambo yetu mengine
Back
Top Bottom