Zamani mawaziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa walikua wa moto sana wakiwemo mheshimiwa hayati Benjamen William Mkapa, Jakaya Mrisho Kikwete, Bernard Camilius Membe. Hata mawaziri wa serikali ya hayati John Pombe Magufuli yule mama Mulamula, Stagomena Tax na Prof Kabudi kama...
Leo nimeonja radha ya mvua kwa kukaa hapa Mtanana karibu na Kibaigwa Kwa saa nne.
Nimeshuhudia foleni kubwa sana ya malori na mabasi huku abiria wakiwa hawana cha kufanya. Hii barabara ya Dodoma to Dar inahitaji jicho la ziada kwani unabeba uchumi wa taifa letu.
Barabara hii kufungwa kwa...
Nimepita Vigwaza kabla ya mizani ukitokea Dar ile hali sio kabisa serikali iingile kati. Unaweza kudhani ni hujma kwa uchumi wa Tanzania.
Foleni kilomita tatu sio jambo la kuchekea hata kidogo. Hata askari police nao hawapo ku regulate halli mambo yanajiendea hovyo tu.
Leo nomefika ofisi za RITA DODOMA kuanzia saa tatu na robo mpaka naondoka saa Saba mchana sikupata huduma. Nimefika pale kwenye ofisi zao zilizopo Makole kwenye jengo la PSSSF gorofa ya tano nilichoshuhudia ni maajabu.
Kwanza hakuna dawati la maulizo wala huduma kwa wateja.
Kulikuwa na nyomi...
Dodoma imekuwa na vibaka wa hatari sana ukofanya wiring na kuweka umeme kesho yake wanachukua kila kitu. Kuna baadhi ya nyumba hata wiring yenyewe wanafumua yote kabisa.
Juzi wamenichukulia Main switch na ikiwa na umeme na kuuchukua wire unaotoa umeme kwenye mita kwenda kwenye Main switch.
Je...
Hawa ndugu zetu wa bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu siwaelewi. Wakiwa wanakudai kila siku wako mlangoni kwako na kama umeajiriwa kila siku unao ofisini kwako.
Hiyo yote ni kuonyesha how serious they are. Shida inakuja unapomaliza deni lako na ukawa umewalila zaidi kwa maana ya OVER...
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa wabunge wengi waliochangia kamati ndogo ya sheria na ajira kuna kubebana sana kwenye SECRETARIAT ya ajira. Wabunge wamesema siku hizi kuna kanda watu wake hawaajiriwi kabisa.
Kuna vimemo vinawataka wabunge watie mkono ili ajira zitoke. Je NEPOTISM inatokea ndani...
Amekuwa na wakati mzuri sana kwenye uongozi wake ndani ya muda mfupi.
Ukiona mpaka viongozi wa upinzani hasa chama kama CHADEMA wanamkubali na kushiriki kwenye mwito wake ujue huo ni uungwana mkubwa na anaoonyesha kuyataka maridhiano kwa nguvu hata kama chama chake kinaweza kisiwe nae bega kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.