wala hakuna kasheshe zzt barabarani zaidi ya kufuraia safari yako mwanzo mwisho ukitoka kasane mpk francistown amini hutaweza kuta askari (traficki) njiani hata mmoja zaidi ya vituo vya kushuka kwenda kukanyaga maji ya dawa( kwani mnapita kwenye mbuga ya wanyama ya kasane) so lazima kukanyaga...
pia waweza toka dar-lusaka,kisha hapo lusaka ukachukua basi mpk boda ya kazungula,unavuka mto zambezi kwa pantoni utakuwa uko kasane mji wa kwanza wa bostwana.
baada ya hapo utapanda sprinter gari flani hivi kama coster mpk francistown kwa pula 150, toka francistown mpk gaborone ni pula 88 kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.