Wadau kumekuchaa
Naomben ushauri wenu wadau nimeamka nakuta mkeka wangu bado unapumua,sema bado mechi mbili ya MADRID NA YA PSG
Ushauri wenu wakuu nicash out au nikomae tu,ila naona kabisa Madrid kama ataenda kuuchana huu mkeka
Yaani bila aibu wala kujistukia kidogo, tena eti ananiita''mume wangu'', kheee!! Watu tupo bize na vita ukraine uko, yeye anataka kuanzisha vita yake na hela zangu!!!
Pumbavuuu, kaona nimeuchuna mpaka eti ananiambia kadri ninavyochelewa kumtumia hela ndio anazidi kuchelewa kuja.
Upo sahihi kabisaa
Ndo maana kondegang walikuja kushtukia hii ishu too late
Wakataka kubadili upepo kwa kuihamisha bifu wakamtuma dogo Ibraaah ili aingie kati kama substitute ya Konde boy... Ila WCB wakaliona ilo, dogo Ibraah akakaushiwa kama vile hajatoa wimbo wowote wa madongo..
Wasafi...
KUM*MAE ZAO PLAYMASTER!!
WANA ELA YANGU NDEFU SANA HALAFU MPAKA LEO CHENGA HAWAPATIKANI
WAKUU NISAIDIENI KAMPUNI NYINGINE YA UHAKIKA YENYE CHOICES NYINGI NYINGI NA NZURI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.