Recent content by mkanet

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Amen
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Acha ubishi mzee Kuna watu gari za serikali wanalaza majumbani kwako japo sio utaratibu wa serikali
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ukiitwa interview Utumishi na umepoteza original ya cheti kimoja unapaswa kufanyaje?

    Kuna jamaa mmoja alipoteza cha f4 walimrudisha hakufanya interview na alikuwa na loss report.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Walinipokea vizuri sana kwa sababu halmashauri Ina makusanyo makubwa sana kwa level ya halmashauri ukiondoa majiji hii halmashauri ni ya pili Tanzania nzima kwa ukusanyaji wa mapato
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Vumilia tu hata Mimi nilikuwa nimeshakata tamaa na utumishi lakn now nipo kazini naomba nikutie moyo
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ulifanya interview lin?na ilikuwa kada gani?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hakuna kukata tamaa mpaka kieleweke
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Subira yavuta kheri mwamba
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hakuna linaloshindikana mwamba Mimi pia nilikuwa najiandaa lakini nikienda kupiga pepa naishia written tu nilikuwa naumia sana lakini ni mwaka huu nimepiga moja tu nikalamba asali usikate tamaa mdau
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Vumilia mwamba Mimi nilikaa miaka 8 ndio nimepata mwaka huu mwezi wa tano
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ondoa pressure zamani vyeti vya taaluma vilikuwa na majina mawili tu hakikisha hayo mawili yafanane na kwenye hivyo vingine ambavyo vina majina matatu Mimi nilienda hivyo hivyo na nikalamba asali
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Haina tatizo mwamba cha muhimu hayo mawili yafanane na ya kwenye cheti kingine hicho hakuna haja ya kujipa pressure
  14. M

    JamiiForums Tanzania Unaendesha gari Auto kwa mguu moja au yote miwili

    Kama sio mzoefu tumia mguu mmoja itakuwa Bora zaidi mwamba
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kati ya Wizara ya Fedha na TRA mmoja kadanganya mahesabu kwenye ripoti ya mapato 2022/23

    Kwani pesa zote za serikali zinakusanywa na tra peke yake? Mie nadhani Kuna taasisi nyingi tu ambazo zinapeleka pesa serikali kuu bila kupitia tra ndio maana Kuna utofauti wa hizo taarifa.
Back
Top Bottom