Wakuu...... Nimeona fulsa ktk sector ya picha esp still picture.
Natafuta photographer nzuri niweze kjifunza toka kwake. I'll pay kama atakavyohitaji.
NB
AM LOOKING FOR THE BEST PHOTOGRAPHER! NOT JUST A PHOTOGRAPHER.
Wakuuu salaam sana.
Leo ni siku ya pili tangu kutekelezwa agizo la serikali la kupiga marufuku uzalishaji pamoja na uuzwaji wa pombe zilizokuwa zikifungashwa katika mifuko ya plastic maarufu kama kiroba.
Agizo hili limekua ni la kukomoana na linapingana moja kwa moja na sera ya kutengeneza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.