Lawama wanapewa TRA kwakua ndio wanakutana na mlipakodi moja kwa moja, ishu hapo ni namna utaratibu ulivyoweka si rafiki kwa mlipakodi, muda mwingine wamiliki wa majengo wanatishia kuwafukuza wapangaji kisa hio kodi, kwaio inabidi mlipakodi amlipie tu mwenye nyumba au ahame, serikali labda...
Habari wjamvi, Natafuta mtu kutoka mwanza mwenye uzoefu wa kwenda Uganda, Kampala kibiashara nahitaji kwenda kujumua vitu vya uremno, nijulishe tafadhali.
Kodi ya mapato inakatwa kutoka katika pato alilopata mtu (mfanya biashara) ambapo magari ya biashara ni mojawapo.
Sasa kodi ikiwekwa kwenye mafuta moja kwa moja itaakua sio fair kwa mtu wa usafiri binafsi, ulipe Kodi ya mapato na huingizi pato lolote kupitia gari haiwezekani. TRA wameweka mfumo...
Habari wakuu, naamini JF ina watu muhimu na makini sana kwa nchi hii.
Mimi nafanya kazi katika Auditing firm hapa dar es salaam kama Tax Accountant, lakini pia nafanya external Audit maana ukiwa firm ndogo unafanya majukumu mengi zaidi.
Kwasababu za kifamilia nalazimika kuwa Mwanza.
Hivyo...
Nadhani ukiweka all documents in a single PDF is the best kwasababu .
ukidownload document moja ni rahisi kureview badae kuliko ikiwa mojamoja, mwajiri anapata usumbufu wa kuunganisha document mojamoja na kama mjuavyo unadownload kitu kinajiandika jina lenye manamba kibao sasa ni usumbufu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.