Kwa takwiimu za miaka ya karibuni visa vya watu kuuwawa kwa wingi vimeongoza usaliti wa mapenzi,watu wameuwa kwa kuchomwa MOTO ndani ya nyumba mfano mbezi-dar, singida achana na hiyo Habari huyo mwanamke ni hatari atawachanganya sana na jamaa hata kubali, wanawake mbona wako weeeengi bro chukua...
Pole sana kiongozi usifikirie kufanya kitu kibaya,Mungu amekuonyesha mapema kuwa hakuwa chagua lako ingawa kwa macho ya binadamu uliona hilo piga moyo konde, vumilia, huna haja ya kufikiria kujiua hujaimaliza hii Tanzania na dunia kwa ujumla wanawake ni weeeengi wazuri, wenye mapenzi ya dhati...
Jaribu kuchunguza mienendo ya mkeo kwa sababu kama ni mama wa nyumbani anakuwa na muda mwingi wa kuwa mtoto yawezekana anaiga kutoka kwake ameiga tabia anazoziona haziwezi mawinguni,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.