Recent content by mkalusanga

  1. mkalusanga

    Naomba Msaada wa Tiba

    Habari zenu wana Jf poleni na tozo poleni na kupanda Mafuta Mimi toka jana nimepata tatizo kila nikila chakula nasikia chumvi sanaa hata kama chakula hakina chumvi. Pia nikinywa juice pia nasikia ina Sukari Sanaa juzi nilienda kupima Hospital nikaambiwa nina UTI nimepewa Dawa leo ni Siku ya...
  2. mkalusanga

    TANZIA Mtoto wa Mbunge Cecil Mwambe afariki dunia kwenye swimming pool

    Poleni Familia Mkuu kumbe ulikuwa unamjua Beatrice Alikuwa rafiki yangu sanaa kabla ya Siku mbili kitokee kufo chake tulichat kwa Whatsup ila ni kama Alikuwa Ananiaga wapendwa tupendaneni tu hakuna kitu kinauma kama kufuta namba ya Mtu Aliekufa Uliekuwa una Uhusiano...
  3. mkalusanga

    Hivi, huwa ukiongea peke yako unaongea na nani?

    Mkuu Mshana samahani kuingilia Mada jana Usiku nimeota niko Uchi kabisa kuna jirani yangu ni mtu mzima tena tunaheshimiana na ana pesa sana kakaa kwenye kiti mimi nikaja pembeni yake nimeinama huku mbele yuko mke wake kasimama kama katupusha tuongee kiukweli nimeogopa sana nine Tafsiri yake...
  4. mkalusanga

    Eric Hamissi aliyekuwa DG wa TPA kaonewa baada ya kukataa kuhonga wanasiasa kama enzi za zamani

    Huyu Mheshimiwa tunasali nae kanisani ni mtu poa sanaa tena Ana hofu ya Mungu Sana Mungu Atamtetea.
  5. mkalusanga

    EWURA yatangaza bei mpya za mafuta ya Julai, 2022. Petroli, Dizeli zapanda

    Aisee tutakoma Wenye Cc 3260 Asante kwa taarifa mkuu
  6. mkalusanga

    Nahisi "house girl" anayedaiwa kuua mtoto ni muhanga

    Naomba kwa Wanaokumbuka juzi juzi hapa kuna mtu Alileta Story ya yeye kuzaa na Dr. Na Alidai mke wake Kamzalia Watoto wa Kike tuu ila huyo Dr Kamzalia mtoto wa Kiume na Kapewa Baba Mwingine Asije kuwa ndo huyu Mdau wa Humu Ndani Kafanya yake Make Alielezea Kwa Uchungu Sana Mliosoma kumbukeni.
  7. mkalusanga

    Kwa jambo hili, nadhani Vodacom Tanzania mambo yameanza kuwa magumu

    Angalia nimenunua GB 12 Ona nilichopewa hawa Watu Wezi Sana
  8. mkalusanga

    Naomba kujuzwa gharama za material ya kutengeneza gril

    Hii itakusaidia Material yanayotakiwa Madirisha yangu yalikuwa Sita
  9. mkalusanga

    Rasmi sasa ITV, EATV na Iman TV ndani ya DSTV

    ITV 383 EATV 384 CHANEL 10- 386 CLOUD 387 UPENDO TV 388
  10. mkalusanga

    Uganda-Utafiti wabaini 93% ya wenye accounts Benki Wana chini ya Milioni moja,Kwa Tanzania si itakuwa zaidi ya asilimia 95%!?

    Ndugu Mteja Kiasi cha TZS 6,700,000 kimetolewa kutoka katika akaunti yako nambari : 015*****00 Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi
Back
Top Bottom