Habari zenu wana Jf poleni na tozo poleni na kupanda Mafuta Mimi toka jana nimepata tatizo kila nikila chakula nasikia chumvi sanaa hata kama chakula hakina chumvi.
Pia nikinywa juice pia nasikia ina Sukari Sanaa juzi nilienda kupima Hospital nikaambiwa nina UTI nimepewa Dawa leo ni Siku ya...
Poleni Familia Mkuu kumbe ulikuwa unamjua Beatrice Alikuwa rafiki yangu sanaa kabla ya Siku mbili kitokee kufo chake tulichat kwa Whatsup ila ni kama Alikuwa Ananiaga wapendwa tupendaneni tu hakuna kitu kinauma kama kufuta namba ya Mtu Aliekufa Uliekuwa una Uhusiano...
Mkuu Mshana samahani kuingilia Mada jana Usiku nimeota niko Uchi kabisa kuna jirani yangu ni mtu mzima tena tunaheshimiana na ana pesa sana kakaa kwenye kiti mimi nikaja pembeni yake nimeinama huku mbele yuko mke wake kasimama kama katupusha tuongee kiukweli nimeogopa sana nine Tafsiri yake...
Naomba kwa Wanaokumbuka juzi juzi hapa kuna mtu Alileta Story ya yeye kuzaa na Dr. Na Alidai mke wake Kamzalia Watoto wa Kike tuu ila huyo Dr Kamzalia mtoto wa Kiume na Kapewa Baba Mwingine Asije kuwa ndo huyu Mdau wa Humu Ndani Kafanya yake Make Alielezea Kwa Uchungu Sana Mliosoma kumbukeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.