Unachosema ni kweli kabisa Mimi Wiki iliyopita Nilikuwa Naumwa Tonsez
Zimenibana Hata kumeza ni Shida Nimeenda Hospital Natumia BIMA ila Ajabu nikaambiwa Natakiwa kulipla Sindano Elfu Kumi
Sababu Mimi ndo Niliomba tu nichomwe Sindano ya kwenye Mshipa ili nipone maumivu Basi ikabidi tu...
Habari za Mihangaiko..
Napenda kumshauli huyu Dogo Aslay kuhusu Biashara ya mihogo
Leo nimesema niende kula mihogo na Mishikaki ajabu hawana Mishikaki
Eti kuna Samaki tuu na Mimi Mchana nimekula Samaki Sasa nikauliza Hamna kibgine zaidi ya Samaki?? Jibu hamna
Sasa kilichonifanya niandike mimi...
Mimi kwa tulivyofundishwa toka Utotoni ni kuwa Mungu ni Mmoja ila Ana Nafsi tatu
Mungu Baba= Ambaye ndio Mungu Mkuu
Mungu Mwana= Ambaye ni Yesu Kristo
Mungu roho Mtakatifu=Ambae hutuombea pasikoweza kutamkwa kama nimekosea Nisahihishwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.