Kwanini wasubiri kauli ya rais ili kuomba radhi? Je rais angewaunga mkono ndiyo kusema kuwa ingehalalisha na kuwafanya wawe sawa? Hayo ni maoni ya rais wala hayana uhusiano na uhalali wa kauli ya Bashiru.
Maisha ya Wairani ni ya kikuani, maana kuna rais ambaye ni mtawala, alafu kuna Ayatolah ambaye kwao ni kama kuhani mkuu, uenda Salem ilikuwa Iran. Anyway dunia imeinama, mifumo imekengeuka, hakuna cha kuhani wala kuwadi, wote ni ubatili mtupu.
Nilitegemea watu wajadili jinsi alivyoweza kubaka zaidi ya watu watano kabla ya kutiwa nguvuni na kuuliza hii intelligence tunayosema inaweza kugundua tatizo kabla halijatokea ilikuwa wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.