Sorry naomba nipongeze swali hapo....je,naweza kujuaje makadirio ya Nondo ninazoweza kutumia kwenye hiyo slab ya size hii,na je naweza kutumia za 10mm au lazima ziwe 12mm? Asante in advance
Namimi naomba kuuliza,hivi hesabu za kokoto unaweza kuzikadiriaje?...
Kwamfano cubic meter Moja ya kokoto inaweza kumwagwa ktk area ya sqm ngapi? Kwa slab!....au mfano jengo langu Lina upana wa 16m kwa 14m ktk hiyo slab inatakiwa niaandae kokoto cubic meters ngapi?...
Hapo mzee lazima tuogope,maana Risasi zinarushwa hovyo Wala uwezi jua itatua wapi.
Wewe imagine Risasi zinapigwa alafu hapohapo Kuna mafuta ya petrol lazima uwe muoga.
Mf.kuna mmama naona walimchanganya na Nani sijui akiwa ktk gari yake ndogo yenye tinted Basi walimfukuzia wakafyatua Risasi...
Yeah nasikia mabati Yale yamewekwa alfajiri ya leo kuzunguka eneo lote,na nemba na jina la sheli zikazibwa na stika baadae wakawekwa mabaunsa kibao kulinda hapo.
Ndio mida ya jioni imekuja kichwa Cha Roli kikiwa Kasi kigaingia ndani kwa kugonga mabati Yale na kikakanyaga watu kadhaa na...
Habari Wadau ,hivi Sasa nimepitia maeneo ya Kigamboni Tungi kwenye Round about kuelekea Darajani,Kibada na Feri kwa mbele kidogo Kuna Kituo Cha mafuta.
Nimekuta Kuna zogo kubwa la watu,kutahamaki ni milio ya Risasi na watu wanakimbia hovyo.
Sijajua chanzo rasmi ni Nini,japo wengi wanasema kile...
Wazo zuri sana, tena anaweza akaingia mkataba na timu kadhaa za huko Ulaya za mpira wa miguu na hata michezo mingine..
Mkataba wa makubaliano kua wanatumia hoteli hiyo na facilities za viwanja na gym kama ulivyoshauri mtoa mada, wakati wa maandilizi ya michuano na ligi zao lakini pia hata...
Duh 2016,inamaana ulichepuka mkuu? I bet shem wetu akisoma lazima mgawane mali siku hiyo hiyo....
Any way kama wadau wengi wanavyosema hapo juu,hii kitu ni kila mwanamke anaweza kutoa hayo makitu ...ispokua kuna factors nyingi kwanini wengine hawatoi au hutoa kiasi kidogo,most importantly ni...
Hiyo ukiitazama vizuri iko na blocks(mawe) maalumu ambayo yanatumika kama mikaa ya kawaida...
Faida zake ni kua mawe haya hayatoi moshi lakini pia ni reusable 5 to 7 yrs....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kariakoo sehem gani mkuu...maana jana nimezunguka kule mitaa ya swahili na uhuru lakini sikufanikiwa,na kila niliemuonesha picha alionekana kuliona kwa mara ya kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.