Ukifanikiwa kuifukunyua nitag mkuuHii sheli ilishawahi kuletwa humu inauzwa,
Ngoja niifukunyue
NmekutagUkifanikiwa kuifukunyua nitag mkuu
Kama bado haijanunuliwa itafaa sana
Ukifanikiwa kuifukunyua nitag mkuu
Kama bado haijanunuliwa itafaa sana
Uyu anayejiita puker anapaswa kuja hapa kunyoosha maelezo.Petrol station for sale!
Location: Kigamboni Mwalimu Nyerere Bridge. A petrol station has offices which cover 300square meters and one were house with office. Plot size: 3.5 Hectors Document: It has title deed Distance: 8km from Ferry Ask price Million 3.5 USD...www.jamiiforums.com
Hamza kawapaisha sana ccm wenzake jana,kua ugaidi n ujambazi ni ccm wenyeweNgoja chadema waje kushangilia.
Yani wana akili vyatu mpaka basi
Ila unapenda kiusikia kwa mbali na ulipo sio? 🤣🤣Mimi napendaga kusikia milio ya risasi yaani inasauti nzuri kweli kweli.
Hamza Alikuwa Kada Kindakindaki 😁😂😃🤣Naona yule Gaidi Ni boss wa CCM.
Hata Ccm Kuna Majizi!!Hamza kawapaisha sana ccm wenzake jana,kua ugaidi n ujambazi ni ccm wenyewe
Hicho ndicho kinachowagharimu hata polisi na wanachama wa CCM.Ngoja chadema waje kushangilia.
Yani wana akili vyatu mpaka basi
Akhsante sana mkuuPetrol station for sale!
Location: Kigamboni Mwalimu Nyerere Bridge. A petrol station has offices which cover 300square meters and one were house with office. Plot size: 3.5 Hectors Document: It has title deed Distance: 8km from Ferry Ask price Million 3.5 USD...www.jamiiforums.com
mabaunsa wala chipsMabaunsa wameshindwa kuzuia kichwa roli?Sasa wanafuga hivyo vifua vyao Nini? Vifua Kama matako ya mtoto vile.
Usaidiwe kujitwisha kichwani furushi lako la kinyesi na uende zakoNgoja chadema waje kushangilia.
Yani wana akili vyatu mpaka basi
Ndugu yangu, mimi ni mwanachama hai wa CCM.Ngoja chadema waje kushangilia.
Yani wana akili vyatu mpaka basi
Badala ya kula ugali unakula.miraa.Mabaunsa wameshindwa kuzuia kichwa roli?Sasa wanafuga hivyo vifua vyao Nini? Vifua Kama matako ya mtoto vile.
Huenda yakawa ni Masalia tu ya Hamza.Habari Wadau ,hivi Sasa nimepitia maeneo ya Kigamboni Tungi kwenye Round about kuelekea Darajani,Kibada na Feri kwa mbele kidogo Kuna Kituo Cha mafuta.
Nimekuta Kuna zogo kubwa la watu,kutahamaki ni milio ya Risasi na watu wanakimbia hovyo.
Sijajua chanzo rasmi ni Nini,japo wengi wanasema kile Kituo Cha mafuta kina mgogoro wa umiliki.
Nimeona mabaunsa zaidi ya 10 wakizunguka zunguka wengine wameshika mapanga na wengine wameshika Bunduki.
Taharuki ni kubwa na istoshe watu ni wengi kwakua Leo ni siku ya mnada wa wakazi wa kikagamboni eneo lile.
Pia Kuna taarifa zisizo rasmi kua Kuna watu wamekufa kwa kukaganyagwa na Roli liloingia kwa Kasi ndani ya sheli na kuondoka Kasi pasipo kujulikana ni Nani alikua analiendesha.
Baadae niliona polisi wanaingia kutuliza ghasia,Mimi kwa usalama wangu nikaamua kuondoka zangu.
Sijui Kuna Nini siku hizi,michezo ya Bunduki imeanza Tena
Update
Yeah nasikia mabati Yale yamewekwa alfajiri ya leo kuzunguka eneo lote,na nembo na jina la sheli zikazibwa na stika baadae wakawekwa mabaunsa kibao kulinda hapo.
Ndio mida ya jioni imekuja kichwa Cha Roli kikiwa Kasi kigaingia ndani kwa kugonga mabati Yale na kikakanyaga watu kadhaa na inasemekena wamekufa papo hapo, hofu ni kubwa Sana aiseh.
.View attachment 1909756View attachment 1909757View attachment 1909771View attachment 1909772