Hofu Kigamboni: Adaiwa kuua walinzi wawili na kujeruhi wengine kwa kuwagonga kwa Lori baada ya kushindwa kesi ya madai

Kitambo watauza hizo mashine mitaani kama manati... Wanatuzoesha taratibu.... Kila mtu ajilinde. Nchi ya mama,watoto wa mama...
 
Ukifanikiwa kuifukunyua nitag mkuu

Kama bado haijanunuliwa itafaa sana
 
Uyu anayejiita puker anapaswa kuja hapa kunyoosha maelezo.

Vinginevyo na yeye tumripoti Kama dalali tapeli humu jf
 
Ngoja chadema waje kushangilia.

Yani wana akili vyatu mpaka basi
Hicho ndicho kinachowagharimu hata polisi na wanachama wa CCM.
Badala msimamie sheria na kuhakikisha watu wanakua kiuchumi ila mko busy na CHADEMA. Mnaigopa sana CHADEMA?
Polisi na wanachama wa CCM wao nikuongeza kodi na kuwakamata viongozi wa CHADEMA ili kuwakomoa.
Endeleeni kuongeza kodi tu kila siku maana wananchi wanapesa nyingi sana.
ZAMBIA tayari kishanuka. Nyie bado muda wenu.
Naomba msiendelee kutoa ajira, muongeze kodi ziwe nyingi kasi kwamba ukituma 5,000 ili uitoe unakwata 3,000. Mafuta, sukari, ngano, vifurushi vipande bei yaani inatakiwa 100mb unanunua kwa 10,000 n.k
Hapo tutaelewana vizuri.
 
wanataka kutimiza azma yao ya kulipua vituo vya mafuta?!
Jeshi letu la Polisi msimchekee mtu yeyote.
moto moto tu.
 
Ngoja chadema waje kushangilia.

Yani wana akili vyatu mpaka basi
Ndugu yangu, mimi ni mwanachama hai wa CCM.

Nakuomba sana usiwe na fikra hasi namna hii. Kumbuka imetokea incident ya umiliki wa kituo kama ilivyoripotiwa. Weka siasa zako chafu pembeni au soma kimya kimya usiharibu uzi.
 
Habari Wadau ,hivi Sasa nimepitia maeneo ya Kigamboni Tungi kwenye Round about kuelekea Darajani,Kibada na Feri kwa mbele kidogo Kuna Kituo Cha mafuta.

Nimekuta Kuna zogo kubwa la watu,kutahamaki ni milio ya Risasi na watu wanakimbia hovyo.

Sijajua chanzo rasmi ni Nini,japo wengi wanasema kile Kituo Cha mafuta kina mgogoro wa umiliki.

Nimeona mabaunsa zaidi ya 10 wakizunguka zunguka wengine wameshika mapanga na wengine wameshika Bunduki.

Taharuki ni kubwa na istoshe watu ni wengi kwakua Leo ni siku ya mnada wa wakazi wa kikagamboni eneo lile.

Pia Kuna taarifa zisizo rasmi kua Kuna watu wamekufa kwa kukaganyagwa na Roli liloingia kwa Kasi ndani ya sheli na kuondoka Kasi pasipo kujulikana ni Nani alikua analiendesha.

Baadae niliona polisi wanaingia kutuliza ghasia,Mimi kwa usalama wangu nikaamua kuondoka zangu.

Sijui Kuna Nini siku hizi,michezo ya Bunduki imeanza Tena

Update
Yeah nasikia mabati Yale yamewekwa alfajiri ya leo kuzunguka eneo lote,na nembo na jina la sheli zikazibwa na stika baadae wakawekwa mabaunsa kibao kulinda hapo.

Ndio mida ya jioni imekuja kichwa Cha Roli kikiwa Kasi kigaingia ndani kwa kugonga mabati Yale na kikakanyaga watu kadhaa na inasemekena wamekufa papo hapo, hofu ni kubwa Sana aiseh.

.View attachment 1909756View attachment 1909757View attachment 1909771View attachment 1909772
Huenda yakawa ni Masalia tu ya Hamza.
 
Back
Top Bottom