Sasa mnapata elimu kwa missninformation?
Kusema sina nnachojua kwenye industry kwa kuzungumza ambacho hamtaki kukisikia haiwezi kuwa kweli
Nyinyi ni washamba flani wakuja mmekutana
Halafu huyo Sugu wenu ndiyo mjue naye ana matatizo.
kwenye hiyo dili ya malaria aliunda Anti Virus project halafu alivyovuta mpunga kwa kina Ruge akawazunguka wenzake kimyakimya
Naye snitch tu kama nyinyi
Sasa anayeandika kijuaji ni mm au wewe?
Sasa kama waligombana au kutofautiana ndio inaondoa ukweli kuwa alimtaja kwenye verse zake? Sasa mbona wewe na ujanja wako hajakutaja akamtaja mshamba Pina?
Acheni chuki za kishamba nyinyi,halafu kuonyesha ugoloko wako unaongelea bangi utasema Sugu naye...
Sasa wa kuhadithiwa ni mm au wewe?
Emu muulize kama hajawahi kuishi kinondoni mwanamboka?
Halafu tofauti ya gateman na mlinzi ni nn
Mbona unaleta ulimbukeni nigga!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.