Kwakutumia sheria ipi. Maana hata hyo 7% wanayoichukua bado yale mawe tena nikichenjua mwaloni wanachukua.
Tatizo hapa nikuchukua mawe nakuyapiga mnada kwa kisingizio cha royalty. Hii nchi inaongozwa kwa sheria na kanuni. Sasa ni sheria ipi na kanuni ipi?
Kifupi tatizo lipo hapa
1.unachimba...
Kifupi uko sawa kwamba kila dhahabu ilipiwe royalty na dhahabu ya mwaloni inalipiwa huko huko soko la madini .
Nauliza 10% ya mawe ghafi yanayochukuliwa na watu wamadini nakuyapiga mnada kwa kisingizio cha rush. Hiyo ndo nataka kujua usikalili.
Kwa sheria ipi, wakati tumekuwekea hapo sheria? Hatuhitaji hisia kwani ww hujui uchenjuaji wa mwisho unafanyikia rugeni? Nahapo unakutana na maafsa wao? Tunahitaji sheria sheria kusaidiwa ili tujue.
Ukisoma sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake sehem ya VI isemayo ROYALTIES FEES AND OTHER CHARGE. kifungu cha 87(1) inasisitiza royalty ya 6percentum kwenye dhahabu na madini mengine km yalivyoainishwa japo mengine kiwango chake kiko chini ya 6percentum.
Kumezoeleka katika nchi...
Mimi mama namuunga mkono 100% kuifumua tanesco , wateuliwa wa jpm walikuwa nakiburi mno , kazi ilikuwa nikumsifia rais na kusema uongo. Eti kuunganishiwa umeme 27000/= 🤣🤣 tena huyo karemanii alichereweshwa.
Siyo kweli, kamemanii alianza kupiga sana, angalia kwenye gas na mafuta mpska aliundiwa tume ya kuchunguza.
Lakini pia walipanga kupora mgodi wa wachimbaji wadogo wadogo huko Nyang'hware geita.
Hii nistiry ya kutunga km vp basi jamaa alikuwa mgonjwa ambae ni mmiliki wa ATM card.
Maana ukitoka hela yyte kwa njia ya simu lazima upate sms ina maana yy alitoa card na simu pia??
Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atalivumbua.
Gwajima anaongea kwa record's. Ukitaka kumpinga kasema ruksa ila uwe na hoja, kutumwa kumjibu.
Mfano. Hiyo chanjo iko approved? Kwamba imepitia hatua zte za utafiti mpaka iitwe chanjo?
Mbona ndg yangu Mbowe alitaka chanjo iwe ya lazima kwa kila nchi na hukuhoji?
Kifupi hata km jpm kalala kule...
Kuna majizi mengi yamehusika kuibia Abiria kwa njia hzo hzo, kwa maana ya Baba mwizi na Mama mwizi.
Hao wafanyakazi wa shabibi mimi nawapongeza kwa umakini walio nao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.