shule ya nyumbani kwenu ndo haikuwa na mtihani wa kidato cha pili kwa wale waliohitimu 2009,na je wewe ulipata div ya ajabu kuliko hao walionzia necta 2008 na kuendelea?kama ndivyo una nini na uko wapi ndo kitu kinachoangaliwa,au wewe div yako ilikuwa below dv 1 and above div 0?
unakazana tu kuyajua ya shule ya willbroad slaa bila kujua kuwa ccm nao wapo?.nani anaendesha mifumo duni ya elimu ccm au chadema?,kabula hujatoa borit kwa macho ya wenzako ungejitoa hicho kibanzi kwanza jichoni kwako usingeropoka hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.