QUOTE=MULUNGWANI;5872484]Natamani MALAWI wakaze buti tuwasaidie, potelea mbali ilimradi CCM iondoke madarakani
Ha ha ha ha ha!mkuu punguza hasira umeenda mbali mno!
Mleta mada kitu ambacho hujakijua hadi leo ni kwamba hawa watanzania wa leo sii wa miaka ya sabini!huwezi kuwapelekesha maana wameshajua kohoji,wanaka Elimu bora,huduma bora za afya,maji,miundombinu,nk nk!haya yakifanyika hakuna atakayelalamika lkn kwa hali ilivyo ni vigumu sana!
Hapa nashindwa kujua kama hawa usalama wa taifa kazi yao ni nini maana kwa suala kama hili ilitakiwa lizimwe kabla halijaleta madhara,kumekuwa na udhaifu mkubwa mno kwani kuna matukio mengi ambayo kama wangekuwa makini yasingetokea,twiga kusafirishwa wazima wazima,wahamiaji haramu kusafirishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.