Habari
kuchelew kuwaka kwa gari inaweza kutokea kulingan ubovu wa starter,betry, kichujio chavmafuta na fuel pump
pia inaweza kutokea kulingan n matatizo ya kimfumo wa umeme hivyo kupelekea kias kidogo cha mafuta kwenye combation chamber
karibu tuikague gari yako kwa vifaa vya kisasa tupo chuo...
Ukaguzi wa gari moja kwa moja tunaenda kuangalia matatizo ambayo yanaweza kupelekea gharam kubwa na usumbufu kwa mteja
hivyo tunakagua gari ili kupunguza ukubwa wa tatizo au kuondoa kabisa tatizo kwa namna itavyo wezekana
pia kwa gari ambayo itagundulika ilinunuliwa na tatizo la aina fulani...
Pre purchesing Car Inspection ni moja ya kitu muhimu sana katika ununuzi wa gari kwakuwa itakufanya ujue tatizo lolote la gari kabla ya kujilidhisha na kulinunua.
Hivyo OKEMI technical services tumekuja na huduma hii baada ya kuona baadhi ya wateja wetu kuuziwa magari yenye matatizo ambayo...
Ipo hv kwa mimi nimekulia kijichi n nimeishi mbezi ila mgeni nani na mazingira yake na nyumba zilizopo n miundombinu yake kwa sasa naweza kusema vinashabiiana na maeneo wanayo ishi wakubwa mf ostarbay au masaki pia ni mazingira ambayo yamejengeka kimakazi zaid na si kibiashara kam maeneo mengine...
serikali ilishatoa ufafanuzi kuwa vifaa vya mfumo wa gesi asilia vina gharama kubwa kwakuwa vifaa hivyo avina msamaa wa kodi pindi viagizwapo
pia system za magari hasa katika mfumo wa engine vina gharama kubwa.
mfano, ECU, common rail, coil, throtle body na vinginevyo vina gharam labda uwe...
gharama ipo juu kutokana na gahrama ya vifaa ipo juu mfano vifaa vingi vinaanzia 1.6M hivyo imepelekea gharama kuwa juu kwa ujumla ukizingatia ufungaji wa mfumo huu unafungwa na mtu alie bobea katika mfumo wa engine ili ulaji wa gesi uwe wa kiwango cha chini kama ilivyo kusudiwa. 🙏
kwanza kabisa vitu vinavyo weza kupelekea AC kutumia umeme kupita kiasi ni
-uchafu katika chujio
-kufeli kwa baadhi ya vifaa vya AC mfano capacitor au motor
-AC ya kizaman au iliyo pita mda wake
-ufungaji mbovu
-kiasi kidogo cha refregerant
Ufungaji mbovu
Mfano fundi akifunga ac katika eneo...
inategemea na ufungaji wa fundi pia ushauli kutoka kwa mtaalamu jinsi ya kuilindi na kuitunza ili ifanye kazi kwa ufanisi na kwa gharama iliyo kusudiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.