Msaada, Carina TI inachelewa kuwaka, pia mlimani nikikanyaga mafuta kama ina mis

Mr Meco

Member
Feb 5, 2014
34
49
Habari wataalam! Gari aina ya Carina Ti ghafla inachelewa kupokea ninapo iwasha na wakati mwingine hadi nikanyagie mafuta, nimebadilo Plug, fuel pump bado tatizo lipo pale pale, pia nikuwa mlimani nikilazimisha kuipa moto ni kama ina mis (inapata kigugumizi) tafadhali msaada wataalam.
 
Habari wataalam! Gari aina ya Carina Ti ghafla inachelewa kupokea ninapo iwasha na wakati mwingine hadi nikanyagie mafuta, nimebadilo Plug, fuel pump bado tatizo lipo pale pale, pia nikuwa mlimani nikilazimisha kuipa moto ni kama ina mis (inapata kigugumizi) tafadhali msaada wataalam.
Nunua mswaki tu. Au niuzie kwa 3m. Ikiwa hivo hivo
 
Habari
kuchelew kuwaka kwa gari inaweza kutokea kulingan ubovu wa starter,betry, kichujio chavmafuta na fuel pump
pia inaweza kutokea kulingan n matatizo ya kimfumo wa umeme hivyo kupelekea kias kidogo cha mafuta kwenye combation chamber

karibu tuikague gari yako kwa vifaa vya kisasa tupo chuo cha usafirishaji NIT
tupigie 0692235221
 
Habari
kuchelew kuwaka kwa gari inaweza kutokea kulingan ubovu wa starter,betry, kichujio chavmafuta na fuel pump
pia inaweza kutokea kulingan n matatizo ya kimfumo wa umeme hivyo kupelekea kias kidogo cha mafuta kwenye combation chamber

karibu tuikague gari yako kwa vifaa vya kisasa tupo chuo cha usafirishaji NIT
tupigie 0692235221
Asante mtaalam! Kwa sasa nimekuja nalo Dom. Lak betri, fuel pump ni vipya na kama ni startel kwann mlimani inakosa nguvu ina mis(kama inakuwa na kigugumizi) msaada zaidi wa uelewa kwanza mkuu. Asante.
 
Uligundia tatizo ilikuwa n nn mtaalam
Wooii..
Nlibadilisha petrol filter, nkabadilisha fuel pump, nkabadilisha plug, mwaga oil n.k lakn hakuna chochote..
Yaan hata ku overtake ni kwa machale maana unaeza kanyaga ikaanza kukata mauno wala haisogei.
Wakasema ooh mara mafuta yakiwa kdg inaleta shida, nkaweka almost full tank lakn wapi.
Siku hz naenda nayo hvo hvo, nshaizoea so najua kuibembeleza.
Lakn bado natamani nipate ufumbuzi
 
Wooii..
Nlibadilisha petrol filter, nkabadilisha fuel pump, nkabadilisha plug, mwaga oil n.k lakn hakuna chochote..
Yaan hata ku overtake ni kwa machale maana unaeza kanyaga ikaanza kukata mauno wala haisogei.
Wakasema ooh mara mafuta yakiwa kdg inaleta shida, nkaweka almost full tank lakn wapi.
Siku hz naenda nayo hvo hvo, nshaizoea so najua kuibembeleza.
Lakn bado natamani nipate ufumbuzi
Poa poa mkuu! Ngoja tuendelee kupata wataalam hapa jamvini watusaidie. Natamani ikae sawa kama awali.
 
Wooii..
Nlibadilisha petrol filter, nkabadilisha fuel pump, nkabadilisha plug, mwaga oil n.k lakn hakuna chochote..
Yaan hata ku overtake ni kwa machale maana unaeza kanyaga ikaanza kukata mauno wala haisogei.
Wakasema ooh mara mafuta yakiwa kdg inaleta shida, nkaweka almost full tank lakn wapi.
Siku hz naenda nayo hvo hvo, nshaizoea so najua kuibembeleza.
Lakn bado natamani nipate ufumbuzi
Kama haichemshi basi Ina tatizo la umeme , Tafuta fundi umeme apime kiwango cha voltage inayotoka kwenye alternator na battery . Alternator inatakiwa iwe around 14V na battery around 13 ila sana sana angalia umeme alternator Kama inatoa voltage ya kutosha . Multimeter inatosha kupima umeme fundi Mpe maximum elf 5 tu apime na wewe tizama kama kweli voltage inafika 14. Baada ya hapo angalia earthing /grounding ya gari kama iko sawa . Safisha wire za earth hasa kwenye contact .
 
Kama haichemshi basi Ina tatizo la umeme , Tafuta fundi umeme apime kiwango cha voltage inayotoka kwenye alternator na battery . Alternator inatakiwa iwe around 14V na battery around 13 ila sana sana angalia umeme alternator Kama inatoa voltage ya kutosha . Multimeter inatosha kupima umeme fundi Mpe maximum elf 5 tu apime na wewe tizama kama kweli voltage inafika 14. Baada ya hapo angalia earthing /grounding ya gari kama iko sawa . Safisha wire za earth hasa kwenye contact .
Asante sana mtaalam
 
Kama haichemshi basi Ina tatizo la umeme , Tafuta fundi umeme apime kiwango cha voltage inayotoka kwenye alternator na battery . Alternator inatakiwa iwe around 14V na battery around 13 ila sana sana angalia umeme alternator Kama inatoa voltage ya kutosha . Multimeter inatosha kupima umeme fundi Mpe maximum elf 5 tu apime na wewe tizama kama kweli voltage inafika 14. Baada ya hapo angalia earthing /grounding ya gari kama iko sawa . Safisha wire za earth hasa kwenye contact .
Na kama alternator haitoi moto wa kutosha around 14V nini tatiza na natakiwa kufanya nini mkuu, tafadhali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom