Recent content by MJUNKI

  1. MJUNKI

    Roho mbaya ya kuweka misumali barazani haifai

    Huyu aliyeweka nondo mwehu..angalieni vizur hyo picha,hpo kwny baraza ya kuingilia kwny duka pia ameweka nondo,Mwenye nyumba ana roho mbaya tena anastahili ashitakiwe kwa upuuzi alofanya au aondoe hyo hatari.
  2. MJUNKI

    Roho mbaya ya kuweka misumali barazani haifai

    Binaadamu wenzangu roho mbaya haifai. Tazama hiyo picha. Mtu anadiriki kuweka nondo za futi moja zenye ncha kali kwenye baraza ili watu wasikae. Me najua nondo kama hizi huwekwa juu na ukuta au kwenye geti. Sasa huyu ndugu yetu ameweka nondo kwenye baraza, bila ya kufikiria kuna watoto wadogo...
  3. MJUNKI

    Leo nimeamini Uswazi kuna Great Thinkers wa ukweli

    Mwenye namba ya simu ya ZEMBWELA tafadhali...
  4. MJUNKI

    Majambazi yakamatwa baada ya kumpora mzungu

    Duh maskini white anaenda kuolewa segedance...👏mwali😁 mwali 😁mwali👏..
  5. MJUNKI

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Hahahaaaa hii iliyoandikwa kwny gari ya manzese/kigogo ni noma..SHUZI LIMEPATA MJAMBAJI..
  6. MJUNKI

    Tahadhari kali kwa nyote mlio na magari binafsi; chunga sana na waambie wengine!

    Watakuona unatoa vipeperushi vya Tiba za Asili..
  7. MJUNKI

    Kibaka akiwa hoi Kigamboni

    Hyo kibaka hana hata jeraha,ila suruali imeroa kidogo kwny nanihii..au wamembandua???
  8. MJUNKI

    Picha: Polisi wetu huu ni uzembe au ni kufanya kazi kwa mazoea?

    Duh hawa polisisiem noma..Yule analala kweupeee..na huyu ameinamia watsapp anachati na mamsap,wamevua kofia na manati ya mzungu wameweka pembeni,silaha zikichukuliwa magazeti yooote hadithi inakuwa hyo,,wakati wanafanya uzembe.
  9. MJUNKI

    Ustaarabu ni kitu cha bure

    Baada ya miezi sita hzo taka unakuta zimejaa hata pa kupita hakuna,inasikitisha sana.
  10. MJUNKI

    Ustaarabu ni kitu cha bure

    Katika pita pita za kutafuta maisha,nimepita mitaa ya magomeni mapipa nikaona dampo limeanzishwa barabarani..Jamani hii ni aibu kubwa kutupa taka ovyo,ukizingatia hata barabara yenyewe haijafunguliwa rasmi na mwendo kasi haujaanza kufanya kazi.
  11. MJUNKI

    Mitaa korofi na hatari mikoani

    Kilosa mtaa hatari ni SHAURIYAKO...umeitwa Shauriyako kwa maana litakalokukuta ni lako peke yko..
Back
Top Bottom