mieleka ile ni mipango na baadhi ya michezo uwa mshindi anapangwa ili kuendelea kuvutia watazamaji nimefatilia block lesner ile match ilikuwa lazima ashinde maana uyo mwenzake mkataba wake ulikuwa unaisha baada ya iyo event hvyo basi matokeo waliyajua aisee wwe ni mipango tu kampuni ile inafanya...
aliyefail alipata zero bhana uyo diploma kwani nacte awana vigezo vya kudail swali nacte wanadail failure ndio maana division one mpaka four wote wanahesabiwa ni pass ila madaraja tofaoti narudia failure ni zero
mashishanga,
Ndugu hao ni MUM utaratibu uliopo tokea mwaka jana baada ya round zote kuisha TCU uangalia ni kozi gani na chuo gani azijajaa ndiyo ufungua transfer huwezi fanya transfer kama round zote azijaisha na ufanyika online na kulipiwa elfu 30 ndugu huo ndio utaratibu.
subr dirisha la transfer tcu wakifungua wataweka vyuo ambavyo vina nafasi na kozi pia ila inabidi ulipie then utachagua kozi nyingine chuo kingine kama iko eligble na iyo kozi basi utafanikiwa transfer yako ila akikisha una vigezo vya iyo kozi unayotaka kwenda chuo kingine
batch bado zinaendelea awo uliowaona bado watatoa batch nyingine awo watatu ndio wamefanikiwa kwa izo batch mbili hvyo isikuchanganye kama una vigezo chuo utapata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.