Mama anapokuwa mjamzito je, ni miezi ipi huruhusiwi kufanya naye tendo la ndoa ukiacha mwezi wa nane na wa tisa; baada ya kupata ujauzito.
Pia baada ya kujifungua kufanya tendo la ndoa haina athari kiafya kwa mtoto anayenyonya. Naomba mchango wenu kwa wale wenye uzoefu na haya mambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.