official scandal
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 389
- 816
fgf
Haha Dah hii story miyeyushodaaa! very interstingi mimi wangu alinijambia kwenye basi, kwa kweli nilikasirika sana maana nilijua kuwa aliyenijambia ni yeyey maana yeye ndo alikuwa amesmama mbere ya kiti nilichokuw animelalaria kwa uso wangu uku nikiwa na usingizi, baada ya ushuzi ule tulishuka kituo kimoja nae aliniomba nimsamehee maana ane alijua kama nimejua kuwa yeye ndo aliyenijambia, kuanzia pale tukawa marafiki na hvi sasa ni mke na mme, ila ndani ya ndoa kujamba ameacha.
Ni kweli mkuu hii ni UD ya 2004 - 2007.Duuh! Inaelekea siku ya kwanza kula mzigo uliula kihasira eeeh, ukifidia kadhia ya matapishi uliyoipata. Hongera mkuu, ulipanda na sasa umevuna matunda mema... Changamoto za hapa na pale zipo, huna budi kuzikabili...
Alafu mkuu inaonekana wewe ni wa zamani sana. Hizo stori zinanikumbusha UD ya miaka ya 2004 to 2007 hivi.
kweli aise!Haha Dah hii story miyeyusho
daaa! very interstingi mimi wangu alinijambia kwenye basi, kwa kweli nilikasirika sana maana nilijua kuwa aliyenijambia ni yeyey maana yeye ndo alikuwa amesmama mbere ya kiti nilichokuw animelalaria kwa uso wangu uku nikiwa na usingizi, baada ya ushuzi ule tulishuka kituo kimoja nae aliniomba nimsamehee maana ane alijua kama nimejua kuwa yeye ndo aliyenijambia, kuanzia pale tukawa marafiki na hvi sasa ni mke na mme, ila ndani ya ndoa kujamba ameacha.
Ha ha ha ha nimechekajedaaa! very interstingi mimi wangu alinijambia kwenye basi, kwa kweli nilikasirika sana maana nilijua kuwa aliyenijambia ni yeyey maana yeye ndo alikuwa amesmama mbere ya kiti nilichokuw animelalaria kwa uso wangu uku nikiwa na usingizi, baada ya ushuzi ule tulishuka kituo kimoja nae aliniomba nimsamehee maana ane alijua kama nimejua kuwa yeye ndo aliyenijambia, kuanzia pale tukawa marafiki na hvi sasa ni mke na mme, ila ndani ya ndoa kujamba ameacha.