kwani mtu kutoa pesa kwa jili ya mungu wake ni kosa, je misaada tunayopokea tokea nje ya nchi tunawapaga nn?mbona hamuulizi?,acheni kudanganywa, hakuna mgombea ccm asie toa hela. Si bora huyo anae toa kuliko hao wanaoiba na kujenga masheli na mahotel wewe mwananchi hufaidiki kitu. Jamani tuache...
Ingia yutube zipo kibao, ila angalia usije ukamkimbia hiyo timu me..... au subilia ipo siku ataunguluma taifa litamsikiliza kisha mtasadiki kuwa kweri alistahili.
Mungu akupe subila mh.lowasa, na uendelee na ukimwa wako bila kujibu ila mapambano yaendelee cc tunasubilia ushindi wa tsunami ili wajue kuwa unakubalika na unauzika ila watu tunaogopa tu kusema maana kuna viongozi wanatulazimisha tusikuchague. Hakuna mwingine atakae weza fikisha hata nusu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.