Yaaanii cidhan kama kuna mtu yupo above the law becoz katiba inaongeleaa kbsaa ibara ya 13 ya katiba na pia hayo malipo yanafanyikaa kisheria asaa apo anaposemaa hayatakiwii kulipwa wakatii kiaa kitu kinaongozwaa na sheria na sio maneno ya mtu
Muda utafikaa tuu na yataishaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.