Kila tukijunguza tunaona anaomuomba documents Mwanyika, vita ya uchumi ngumu ndugu zangu ni zaidi ya vita ya kawaida ,walioko jeshini wanaelewa tunapokua vitani anatokea msaliti anafanywaje! He is not suppose to survive ilikua saa5 na baadae saa7/8 TAL akamiminiwa risasi tena walinzi wakiwa...
Hayajakukuta! Sio kila changamoto inavumilika vema kuinuasuru afya yako,hao wanao wataishi hata usipokuwepo. Tena wanaweza kuishi vzr zaidi ya ulivyokuwepo wewe! Wanaume tujifunze kujijali kibinafsi Kwa sababu Dunia haiko upande wetu
Huko anakokwenda Kwa desturi za viongozi wa kiafrika hiyo EAC itavunjika sasa hivi...Anaingia utamu wa watu? Tatizo la nchi nyingi za kiafrika ni uelewa mdogo wa wananchi kuhusu mahusiano ya siasa na maisha yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.