Mnataka nini wazee, nasikia mnataka punch line,
Niwape diss pekee, au hata nyeusi thats fine,
Ntachana mtaitikie ee, au nkikosea mtanipa sign,
Nkimaliza tutafanya shereh, na tutawaka kama sio kushine,
Sas mnambie niendelee, au naanza kutembea nje ya line,