Nami nimesikia Sana Simulizi kuhusu Nyongo ya Mamba, wanasema ukiweka kwenye Maji ni ColourLess(Haitoi Rangi) na wameenda mbali zaidi kwamba vilevile ni TasteLess(Haina Ladha). Wabobezi njooni huku Mtiririke kutujuza kuhusu Nadhalia hizi za NYONGO ya MAMBA!!
Leo 18.04.2023 saa 1.45 usiku Kivuko cha Sea Taxi kilizusha Taaruki kwa Abiria waliokuwa wakivushwa kuelekea Kigamboni, baada ya kukigonga Kivuko cha M.V Kazi Mita chache kabla ya kufika kwenye Gati. Taaruki ilikuwa kubwa, Shukurani kwa Mabaharia ya Kivuko kwani waliweza kutuliza Taaruki kwa...
Jana Usiku Majira ya saa 7 walikata na kurudisha asubuhi leo tarehe 24.01.2023. Na jioni hii wamekata tena. Tatizo ni nini. Eneo ni Toangoma - Kongowe DSM
Kwa upande wangu mimi, urefu wa uume niliokuwa nao nikiwa na miaka 14 i.e (5.9 inch) ndio huo huo nilionao mpaka leo, kipindi hicho ulikuwa mwembamba, lakini nilipofikisha miaka 23, upana wa uume uliongezeka ghafla na kuufanya kuonekana mfupi na mnene
Mkuu Mbona Unajikanyaga hapa Umesema una...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.