Recent content by MjombaRiziki

  1. M

    UZUSHI Nyongo ya mamba ni sumu inayoweza kuua

    Nami nimesikia Sana Simulizi kuhusu Nyongo ya Mamba, wanasema ukiweka kwenye Maji ni ColourLess(Haitoi Rangi) na wameenda mbali zaidi kwamba vilevile ni TasteLess(Haina Ladha). Wabobezi njooni huku Mtiririke kutujuza kuhusu Nadhalia hizi za NYONGO ya MAMBA!!
  2. M

    DOKEZO Kuna siku pale Kivukoni yatatokea maafa, msikimbilie kuunda tume

    Leo 18.04.2023 saa 1.45 usiku Kivuko cha Sea Taxi kilizusha Taaruki kwa Abiria waliokuwa wakivushwa kuelekea Kigamboni, baada ya kukigonga Kivuko cha M.V Kazi Mita chache kabla ya kufika kwenye Gati. Taaruki ilikuwa kubwa, Shukurani kwa Mabaharia ya Kivuko kwani waliweza kutuliza Taaruki kwa...
  3. M

    Mtu akiacha pombe ghafla anaweza kufa

    Wanaopelekwa Sober House hawaachishwi Vilevi walivyokuwa wakitumia kwa ghafla, huachishwa taratibu. Usisubutu kuacha Ulabu ghafla, Utakufa!!
  4. M

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Jana Usiku Majira ya saa 7 walikata na kurudisha asubuhi leo tarehe 24.01.2023. Na jioni hii wamekata tena. Tatizo ni nini. Eneo ni Toangoma - Kongowe DSM
  5. M

    DOKEZO Kuna siku pale Kivukoni yatatokea maafa, msikimbilie kuunda tume

    Sana Mkuu, na Walivyoongeza Kina, Mkondo umekuwa na Nguvu Zaidi. Mungu aepushilie Mbali. M.V. Kazi naona itaanza Soon!
  6. M

    KUMEKUCHA! JNHPP Kuanza kujazwa maji Disemba 15, 2022

    Wamebadili Gia Angani, Wamesema wataanza kujaza tarehe 22 !!
  7. M

    Hizi sadaka ambazo wahubiri wakristo wanazipigia debe mpaka mapovu yanawatoka ni kwa sababu zinaingia mifukoni mwao?

    Ni karibu Makanisa Yote Mkuu! Mahubiri sehemu kubwa ni kutoa Pesa, sema wamebadilisha jina; Sadaka,Matoleo n.k.
  8. M

    TANZIA Mwanamuziki Tshala Muana hatunaye tena

    R I P Tshala Mwana Nakumbuka Sana Nyimbo zake na Style yake ya MUTUWASH!!
  9. M

    Hivi ni kweli kuwa uume unaweza kuongezeka ukubwa baada ya balehe kuisha?

    Kwa upande wangu mimi, urefu wa uume niliokuwa nao nikiwa na miaka 14 i.e (5.9 inch) ndio huo huo nilionao mpaka leo, kipindi hicho ulikuwa mwembamba, lakini nilipofikisha miaka 23, upana wa uume uliongezeka ghafla na kuufanya kuonekana mfupi na mnene Mkuu Mbona Unajikanyaga hapa Umesema una...
  10. M

    Ndege yatolewa majini Bukoba

    Mkuu Tairi zinaonekana, Angalia hapo chini ya Mbawa
  11. M

    Maajabu ya Sensa 2022 'Mkoa wa Manyara- Wanaume ni Wengi Kuliko Wanawake,Yale Mambo Yetu Huko Ikoje Sasa?

    Wanawake wa Manyara wengi wamekimbilia Mjini wanauza Bar. Tembelea Bar za Mjini, Ma-BarMaid wengi ni wa kutoka huko!!
Back
Top Bottom