Recent content by mjombakim

  1. mjombakim

    Urusi kwa mara nyingine yatoa onyo kwa Mataifa makubwa kutoingilia mipango yake Ukraine

    poa poa mkuu jamaa lina kera sana hilo pengine nalo lina pelekewa moto
  2. mjombakim

    Urusi kwa mara nyingine yatoa onyo kwa Mataifa makubwa kutoingilia mipango yake Ukraine

    ANGALIZO 🔞🔞🔞🔞🔞🔞 JAMAA ZENU HAO pengine na wewe upo hapo kambini US
  3. mjombakim

    Madiwani Buchosa wakubali kuhamia Geita ili kutoa fursa kuanzishwa mkoa mpya wa Chato

    Waangaliye utaratibu benki Kuu ya Tanzania nayo waipeleke Chato ingependeza
  4. mjombakim

    Inadaiwa kuanzia Jumatatu hatakiwi kuonekana machinga yeyote mjini Mwanza

    Mtaondolewa kama ile bomoa bomoa ya kimara hakuna namna !
  5. mjombakim

    Kesi ya ugaidi wa Mbowe na wenzake: Nini maana ya "submission?". Je, ni kweli kuwa DPP ana mamlaka ya kuingilia majukumu ya mahakama?

    Katiba ya Tanzania ni pambo tu kwa serekali sheria zina fanya kazi kwa wanyonge tu!
  6. mjombakim

    Maharage Chande wa TANESCO ameingiaje utumishi wa umma akiwa na umri zaidi ya miaka 45?

    pole nyingi sana kwa mama Tanzania tumepigwa na kitu kizito!
  7. mjombakim

    Maharage Chande wa TANESCO ameingiaje utumishi wa umma akiwa na umri zaidi ya miaka 45?

    mfumo wa utendaji huonekana alfajiri sio usiku wa manane Lisu uli mfahamu lini? Magu naye uli mfahamu lini ? nyongeza hakuna watenguaji apo kuna wazee wa fursa!
  8. mjombakim

    Maharage Chande wa TANESCO ameingiaje utumishi wa umma akiwa na umri zaidi ya miaka 45?

    mwendazake kuna vitu alivipangua kwa sasa vina rudi kwa speed ya kimbunga! kuna mahali alikosea ange tuacha vizuri kweli 🤔
  9. mjombakim

    Hayati Magufuli: Umeme wa nchi, Mkipangiwa bei mmekwisha!

    Kweli kwenye umeme tuta mkumbuka siku hizi dakika 3 tu wana kata
  10. mjombakim

    Kama Katiba ingeondoa ukomo wa Urais, ingekuwaje kwa awamu hii mpya ya Rais Samia?

    😂😂😂😂😂😂 ninaomba kufanya marekebisho
  11. mjombakim

    Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika ateta na mabalozi walipowasili mahakamani 10-9-2021 katika kesi ya Mbowe

    yani nyie mna juwa sheria za kimataifa tu? yaani una jaribu kusema mavi ya mwingine ni mavi yako ni chakula? nyie ccm ni moja wapo ya viumbe wa ajabu walio kufa ila bado mnaishi kama mizimu! wanacho fanya wafuasi wenu ni kutambika tu ndio maana hamjazikwa! ila hawapo mbali kuwazika na...
Back
Top Bottom