Naomba mtu yoyote atayeweza kuniwekea hapa ukaguzi wowote wa mwaka wowote cha toka uwepo wake CAG yoyote ambao uliwahi kutoka bila kuonyesha mashaka ya upotevu wa pesa ama tulinganishe upotevu wa sasa na wa zamani upi unatisha
Hao wanaosema Bukoba hawana maendeleo nadhani ni wale wanaofikiria maendeleo ni mijini tu. Waambie wajaribu kuzunguka vijijini ndipo watajua maendeleo ya Kagera na hivyo vimikoa vyao. Asili ya Kagera sio watu wa kuhama hama wanajenga walipo sio kama wenzetu na mie kujenga kwao ni mijini kijijini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.