Recent content by mjinga mwerevu

  1. mjinga mwerevu

    Siri usiyoijua kuhusu ndoto na tafsiri zake

    Kwema mkuu, kwa uzoefu nlionao hio inaashiria kushushwa nyota, jinsi unavofata kina ndivyo unavozidi kudidimia kimaisha
  2. mjinga mwerevu

    Siri usiyoijua kuhusu ndoto na tafsiri zake

    Pole sana, hizi ni ndoto nlikua nazo sana kuna mtu akanisaidia, hio kuota upo msingi nikua kuna watu walikushika (wekea vikwazo /vifungo)ukiwa Madarasa hayo (wawezakua wanafunzi wenzio au walimu. Kua jalalani ni mikosi/nuksi ,kuchafuka/shushwa nyota.
  3. mjinga mwerevu

    Umejichanganya ukazaa kabla ya Kuolewa ukajifanya Mjanja basi imekula kwako maisha yako yote

    Habari za muda huu wanajukwaa, naombeni nichangie kwa uchache. Tuweke mihemuko pembeni twende kwa hoja, kuna sababu nyingi sana kufanya dada zetu kuwa single mama 1:umasikini wa familia zao [kutopata mahitaji kwa wakati] 2:kufiwa na wenza wao [waliozaa nao] 3:wanaume waliozaa nao kuwatelekeza...
  4. mjinga mwerevu

    Nguvu za giza na mizimu ya ukoo

    Pole sana mkuu, kwenye koo nyingi kuna mambo ya "kafara la ukoo" yani familia moja inateuliwa kubeba ukoo, kwa mf, ukingalia life la baba/mama yako ni duni ila wenzake wote &familia zo wanapeta fresh tu, kinachofuata wanachagua mtoto wake mmoja ataefata nyayo [ukapuku/umsikini wake] ili kubeba...
  5. mjinga mwerevu

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Huo wimbo unaitwa "Afrika liberté " kaimba franklin boukaka
  6. mjinga mwerevu

    Watoto wa siku hizi wanadekezwa sana

    Watu hawapangii wengine namna ya kulea ila hawataki kusumbuliwa na matokeo ya malezi ya mtu mwingine, mfano umepata wageni wenye watoto halafu mara watoto waanze kupanda juu ya friji, tv , meza nk, au waanze kimbizana mpaka rooms nk.
  7. mjinga mwerevu

    Wanawake mnaojiuza, hivi mnajuaga kuna maisha ya uzeeni?

    Nani kakwambia wanafikiaga uzee? Hâta huo mpango hawanaga
  8. mjinga mwerevu

    Naombeni ushauri, huyu ni mwanamke sahihi kwangu?

    Mzee hujiulizi anachati nini ? nakinanani? Kwanini kila saa?
  9. mjinga mwerevu

    Naombeni ushauri, huyu ni mwanamke sahihi kwangu?

    Hapo tatizo ni wewe, umekaa kama zombie flani hivi, mwanaume usie na kauli wala misimamo anakuona kama dada mwenzake
  10. mjinga mwerevu

    Ilikuwaje ukaacha kabisa kuwa unaenda Kwenye nyumba Za Ibada?

    Baada ya kugundua si lazima uwe na dini ndo uongee na Mungu
  11. mjinga mwerevu

    TAMISEMI - Hizi meseji zenu za kampeni ni ukiukwaji msingi ya faragha

    Yaani kufungua tu huu uzi na msg ikaingia, inaboa sana hayo matangazo wangelipia kwenye radio na tv huko
  12. mjinga mwerevu

    Kipindi gani kigumu katika maisha ulichowahi kupitia na kutoka na ushindi?

    Asubuhi ntaendelea mkuu Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
  13. mjinga mwerevu

    Kipindi gani kigumu katika maisha ulichowahi kupitia na kutoka na ushindi?

    (Pt 3) kilichonikondesha ni stress (future yangu itakuaje) maana kwenye field nliotoka nlifanya zaidi ya 4yrs na waliobaki walishaongezewa mshahara mpaka laki 6+ wakati huo mimi sina ramani , washkaji zangu wakaanza kunikwepa, ndugu wakanicheka, hâta mimi kuna muda nlijiona fala sana nkajicheka...
Back
Top Bottom