Umeongea sahihi huyu jamaa nimewahi kuishi naye jirani akiwa pale TBC songea, nyumba yake nzuri kazungushia fence ila ndani kwake ukiingia mazombie kama yote,kuanzia mama iliyesemekana ni mama yake mpaka wanae wote wanavuja mate tu mle ndani,kama una kinyaa huwezi kula wala kunywa chochote,ndio...
Mimi wanangu wamesoma kayumba na wamefaulu vizuri,ila ukija kwenye suala la kujitambua, kujiamini nk sithubutu kumkejeli aliyesoma private mpaka najiulizaga mbona huyu wangu wa from four anakosa kujiamini mbele ya huyu wa darasa la 7 private nini shida?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.