Tatizo pacha langu liko hivi, mie mabao hamna kabisa! Uume unadinda vizuri na kuingia kwa bibi kama kawa, ila nitapiga mashine hata zaidi ya nusu saa au saa nzima lakini babu hatemi ng'o! Tatizo hili limenianza kwenye age ya 53, ila kabla ya hapo mambo yalikuwa mubashar! Solution please!
Sent...
Swali pacha pia, mie nahisi shahawa zangu zina fungus kwani nimwingiliapo hubby wangu nakumwaga shahawa ndani yake hulalamika kuwashwa sana ukeni, je tatizo ni nini? Nifanyaje kutatua tatizo hili? Ila mi binafsi sihisi muwasho wowote!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.