kantalambaz
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 1,878
- 872
Nikifanya mapenzi na mwanamke ananilalamikia kupata maumivu ya tumbo la uzazi baada ya manii yangu kumuingia Je nina tatizo gani kwenye manii yangu tiba yake ni nini?
Naomba msaada manake naona ntakimbiwa.
Naomba msaada manake naona ntakimbiwa.