Kwa yoyote ambae anafahamu vizuri hormonal control of spermatogenesis jinsi inavyotokea kwenye mwili wa binadamu naomba anijuze(anielekeze) nimekwama hapa napiga msuli.
Sio lazima ziambatanishwe kwasababu hata mm nilkua na swali kama hilo kichwani ila majibu niliyapata pale headquarter ya heslb walisema hivi sio lazima kuambatanisha hiyo result slip kwa sababu hata wao wanajua kwamba hazija toka, hivyo tuma hizo form zako na viambatanisho vingine ulivyotakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.