Ni tatizo sana hivi vyeo vya ukuu wa mkoa na wilaya kutokuwa na majukumu mengi ya kufanya, mkurugenzi au katibu tawala hawezi kuwa na muda wa kuharibu kama hu...ndio maana hivi vyeo inabidi viondolewe maana wanayofanya mengine ni aibu, kuna mwingine anafundisha huko Arusha, mwingine alichapa...
KAMA UNATEGEMEA KUFANYIKA UCHAGUZI MKUU 2020 ONDOA NDOTO HIYO!
Mimi sio nabii kama Lema au Tb Joshua lakini ninao uwezo wa kuona mbali kidogo, hebu ngoja nikushirikishe.
Ukweli ni kwamba kwa hapa nchi yetu ilipofikia ni wazi kuwa hatuwezi tena kwenda kwa utaratibu uliozoeleka, kwamba uchaguzi...
INTIMIDATION NI NINI?
INTIMIDATION ina maana na tafsiri mbalimbali hasa ukitegemea na muktadha Stahiki.
Intimidation ni kitendo cha kumfanya mtu aogope, yaani akuhofie kiasi kwamba utakachomwambia ama kumuamrisha atekeleze.
Intimidation imewahi kutumiwa na wakoloni wakati wanafanya harakati...
Ili ccm ijipime, ni lazima iweke uwanja fair wa mapambano,
Ni mjinga tu anayeshangilia akimshinda kwa ngumi mpinzani wake aliyekatwa mikono huku mpambano ukiwa ni wa kurusha makonde.
Enzi zile za utoto kule kijijini tulikuwa tunalazimishwa kuchamba kwa kuburuzika chini kwenye udongo...
Yaani ulikuwa unawahi sehemu imebinuka kidogo kisha unapachika tako huku na huku unachamba... Aisee tulikuwa na matako magumu!
Ingekuwa miaka hii wala isingefikia huko...
Magazeti kibao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.