Wadau wa Korean Drama kwasasa ni tovuti gani zimebaki ambazo unaweza pakua bure.
Tovuti ambayo inakuwa na high quality.
Nkiri iweke kando Kwanza ina low quality na Drama nyingi hakuna
Wanamichezo naomba tujadili Kwa kina Matatizo ya Makocha wetu WA mpira miguu hapa nchini.
Kwanini Makocha wetu hawaendi kufundisha nje ya Tanzania.
Wana udhaifu gani na ni changamoto zipi wanazokumbuna ambazo huwafanya washindwe kutekeleza majukumu yao Kwa ufasaha.
Wadau Nataka kununua kigari cha kupigia misele hapa mjini. Yaani Nataka kila niendapo iwe ni mwendo wa kukanyaga Gia Tu.
Je kuna gari zaidi ya Vitz na Passo Kwa ulaji mdogo wa mafuta.?
Mbwembwe nyingi utakuta ni kabwela asie na nyuma wala mbele.
Kula yake ipo miguuni mwake.
Kujidai muda hauitoshi na kujifanyisha ubize kumbe huna lolote.
Maisha ni mipango.
Nilichoelewa Sisi tunaonunua TV Kwa lengo la kuangalia vipindi vya televisheni na mpira na CD zakina DJ Murphy. Tununue TV yenye sifa hizi iwe na Dolby vision,HDR,Ips Led Panel.
Bilashaka Chief nipo sahihi au unasemaje.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.