Jambo la kwanza nina mtoto wa miez 3,huyu mtoto anacheua utadhan anatapika sijui tatizo ni nini!
Tatizo la pili...... Bado sijaanza period ila kama wiki mbili zilzopita nilikutana na mume...
Aiseee! Bora umejua ndugu! Lea mwanao na nakuambia kuna aliye kwa ajili yako anakuja! Nilishakutana na situation hii ila nilijiambia good to goooooo! Na niligoo kweli hadi sasa niko kwenye ndoa ya aman na Upendo halafu alivo kichaa et akaanza kunitafta adai turudiane nilimtoaje baruuuu! Hadi...
Ukiachana tuu na kulifanya hilo titi lake kuwa la maonyesho bado kiafya ni hatar kwa huyo mtoto hapo maana harufu ya hizo rangi za kucha + manywele hayo mtoto si atakuwa anayanyonya jamani ptuuuuuuuuuuuu!!! Fashion nipitie mbali mie
Hiiiiiivi!!! Huyu nae n mwanamke wa kuoa kwel??? Manake kwanza n mwongo,mbil ni mbinafsi,, tatu anatake akutawale bdo mapema yan ana mashart ka EMF nyooooooo ebu mwambie umeahrisha hyo ndoa had utafte iyo milion moja yao
Alaaaa mi nkajua labda hajakzalia kmbe na watoto ameshakuzalia, sasa we ukaanza kumsikiliza uyo sijui ndo rafiki au kafiri wa kazi gan na umbea wakeee???? Marafiki wengine streeeeees tupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.