DAWASA wamekuwa hawatutendei haki wakazi wa maeneo ya Kifuru kwa ukosefu wa maji kwa muda mrefu, na mbaya zaidi hakuna taarifa yoyote ya sbb za ukosefu wa maji.
Jimbo la Ukonga wajumbe wa nyumba 10 wa CCM wanachukua namba za kadi za kupigia kura hasa kwa wanawake kwa kuwarubuni watapewa mikopo na cha kisikitisha walengwa wengi hawajui lolote masikini.
Nimejaribu kumhoji mmoja kadi yake anapeleka wapi majibu aliyonipa "eti kuna mbaba kajiuzulu sasa...
Naomba msaada,
Memory card yangu imekataa kusoma kwenye simu inataka niformat nimeweka kwenye pc inasema hivyo hivyo ninachotaka kujua nikitaka kuformat inasema itafuta all data sasa je hizi data niwezaje kuzihamisha manake ina data za muhimu sana
Kwenye mahafali anapiga siasa wakiandaa mahafali upande wa pili wakaalika viongozi wao wanakamatwa nchi kwa unafiki hii?
Post sent using JamiiForums mobile app
Unajuma maana ya kupigwa? Unafikiri hizo dola elfu 70 ndio dau lake kwa taarifa yako tu madalali wanakula karibu nusu ya hela na ndio kilichofanya yanga waachane nae sbb walitaka kumpa dola 60 elfu lkn 40 cash na 20 kabla ya ligi kuanza lkn kwa sbb madalali wanataka hela wakamshawishi akatae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.