Recent content by mjasiliaupeo

  1. mjasiliaupeo

    Kujenga viwanda vya magari sio suala gumu, bali ugumu upo kwenye mambo yafuatayo

    Gharama kubwa katika tech yoyote ipo kwenye patent. Its either ubuni technology yako ama ulipie pantent. Kila mfumo kwenye gari una patent, kuna watu wananufaika na ubunifu wao,
  2. mjasiliaupeo

    Karatu kuna hoteli za kutosha kupokea timu 4?

    Karatu kuna hotel nyingi tena expensive sana, pale madon wakija kutalii ndio destination yao
  3. mjasiliaupeo

    Kama Ligi Kuu ya Tanzania ni mbovu kwanini Mayele anafanya vyema aliko na kama Ligi Kuu ya Tanzania ni nzuri kwanini Aziz K anafanya hovyo huko aliko?

    Aziz ki anafanya hovyo kwenye league ipi? Ni mpumbavu pekee aliyefikili kuwa aziz ki angekuwa threat kwenye fifa world cup. Hivi soka la dunia mnalichukuliaje?
  4. mjasiliaupeo

    Tunaotesa wenza wetu kwenye mahusiano Mungu anatuona, tukatubu!

    Heartbreak yangu niliyopitia nimekuwa mtu mwenye roho mbaya sana kwa wanawake after healing, kwa kifupi sijawahi kujali hisia zao. Kibaya zaidi nimekuwa rude na ndio napendwa sana kuliko kipindi nilikuwa najali. Inshort ukiweza kuishi kama hivi umeyashinda mapenzi
  5. mjasiliaupeo

    Kwa nini Korea Kaskazini haishambuliwi kwa kuwa na tishio la silaha za Kinyuklia

    Tatizo la Iran kaweka mbele mdomo usio na msaada kwake, unatengeneza nyuklia kisha unatangaza kabisa lengo lako ni kuifuta Israel. Hata mimi ningekuwa Israel ningepiga counter attack
  6. mjasiliaupeo

    Yanga msikilizeni huyu, mchambuzi asema Tsh. Millioni 250 hazijapigwa

    Mdhamini hayoi pesa za bingwa, anatoa pesa za kuendesha shindano, ndani ya hiyo pesa ndio zinapatika pesa za bingwa, runner up na reward zingine. Mfano, kila mechi kila timu inapewa 1.5m ya usafiri. Sasa piga hesabu ya idadi ya mechi na hiyo mil 255 then ndio utajua bingwa anadeserve ngapi...
  7. mjasiliaupeo

    Miaka 15 hivi iliyopita jamaa yangu alioa mwanamke ambaye walikuwa wamekutana miezi kama 3 tu iliyopita

    Mimi ninashukuru heartbreak nilizipata at late 20's from then hadi naingia 30's sijawahi kuwa na huruma na demu, huwa naangalia peace yangu tu. Imenisaidia sana kwenye maisha
  8. mjasiliaupeo

    Tabora United kachukueni pointi zenu 3 kwa Kagoma, mchezo ni batili.

    Double signing ni kosa la maadili sio la sheria za mpira. Kwenye football suala la usajiri lina process zake.
  9. mjasiliaupeo

    Tabora United kachukueni pointi zenu 3 kwa Kagoma, mchezo ni batili.

    Mkataba unakuwa valid pale ambapo vipengele vya mkataba vinatimizwa,
  10. mjasiliaupeo

    Rais Biden asaini Sheria itakayoifungia TikTok kama haitamilikiwa Marekani

    Hizi social medias na tech ni tools zinazotumika sana kijasusi. China walishafungia zamani sana mitandao ya marekani, unahisi ni kwa sababu ya soko? No facebook, instagram au whatsap china unless utumie VPN
  11. mjasiliaupeo

    Kibu arudisha pesa za kwenye account ya Simba

    Kwenye mkataba kuna kipengele cha kuvunja mkataba, ambacho kinahusisha pesa ndefu, bdio anayolazimika kuilipa kwa sasa sio hiyo aliyolipwa awali.
  12. mjasiliaupeo

    Naanza kupata wasiwasi na Sandaland kama mtengenezaji wa jezi za Simba

    Mbona michakato ya kuwapata wakina sandaland ilikuwa wazi tu mwenye dau kubwa anashinda tender? Kuhusu hiyo sanda sioni shida si ni brand name. Mbona tulikuwa tunavaa fila bila kuhoji.
  13. mjasiliaupeo

    Hivi Karia lini anamaliza muhula wake wa Uongozi?

    Hii nayo ni sababu ya kuonywesha karia hajafanya kitu?
  14. mjasiliaupeo

    Farhan: Siku ya mwisho career ya Fei itakua judged kwa vikombe na Tuzo Binafsi

    Hao wachezaji uliowataja kila ukifika muda wa ku renew mkataba walikuwa wanademand pesa nyingi sana bob. Wachezaji now days wana ajents kila kitu ni business. Hao madrid last season walikuwa tayari kuvunja record ya usajiri for mbape, soccer ni budiness kila kitu ni pesa
Back
Top Bottom