Naomba kuwasilisha maada katika mtazamo mpana kwani kuna thread mbali mbali zimeanzishwa humu kuzungumzia madudu mbalimbali yanayoendelea katika vyuo mbali mbali vya ualimu.
Kuna madudu mengi yanayoendelea na kero mbalimbali na malalamiko haya yalishapelekwa wizarani lakini hakuna hatua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.