Recent content by MJ80

  1. MJ80

    Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    Ukiachlia Tanga na Sehem nyengine.Zanzibar ndo sehem pekee wanapopatkana kwa wingi. Wanapatkana maruhubi,Bububu(Ngalawa),Fujoni n.k Bei zake ni kati ya 3500-5000tsh@1kg kwa bei ya jumla. Namna ya usafirishaji ni kuna Agent unamkabizi mzigo wako na kiasi atakachokuambia.we unasbiria dar.
  2. MJ80

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Nunua Dagaa nyama(dagaa mchele) wa baharini kwa jumla na ukauze kwa jumla na rejareja. 1kg=Tsh.4000 @wholesale. Wewe unaenda uza Tsh.5500@wholesale. Reja reja unauza 1kg=6000 - 10000.
  3. MJ80

    nahitaji, sina wazo nifanye biashara gani kwa mtaji wa laki 8 mpaka 1 m

    Mkuu nunua daa nyama(mchele), kwa bei ya jumla kisha kauze minadani kama reja reja.
  4. MJ80

    Matumizi sahihi ya Home theatre Nyumbani

    Tena mkuu hiyo 'SONY' ni level za Bose na Onkyo. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. MJ80

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Hapana mkuu duka li wapi. Na bei yake tafadhali. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. MJ80

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Habari wakuu. Natafuta screen ya "note 5". Sent using Jamii Forums mobile app
  7. MJ80

    Msaada wa sim gani inakaa na charge kati ya sumsung galax s6edge+ au s7

    Bila kisahau Note series mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. MJ80

    Natafuta kiwanja Arusha

    Kipo Mkuu. Kambi ya pili 20x20@8M. 500m kutokea dar road. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom