Mr worldwide
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 348
- 737
Habari wajuvi wa Jf
nimekuwa na matamanio ya kufanya biashara yoyote halali ili niweze kujikomboa kiuchumi na kupiga hatua kimaisha kama kijana
katika harakati za kupambana kutafuta kianzio, nimejitahidi sana kwa hali ya juu zaidi kuaccumulate kiasi cha pesa kinachorange kuanzia laki 8 hadi milion 1 kama mtaji wa biashara.
Mtaji ninao sasa, nahitaji na ninatamani kuwa na biashara itakayonipa faida ya kupiga hatua kimaisha kimaendeleo
naombeni mnipe mawazo yenu ya biashara gani nifanye kwa nyakati hizi, kwa location napatikana jijini Dar es salaam Pugu
nawasilisha
nimekuwa na matamanio ya kufanya biashara yoyote halali ili niweze kujikomboa kiuchumi na kupiga hatua kimaisha kama kijana
katika harakati za kupambana kutafuta kianzio, nimejitahidi sana kwa hali ya juu zaidi kuaccumulate kiasi cha pesa kinachorange kuanzia laki 8 hadi milion 1 kama mtaji wa biashara.
Mtaji ninao sasa, nahitaji na ninatamani kuwa na biashara itakayonipa faida ya kupiga hatua kimaisha kimaendeleo
naombeni mnipe mawazo yenu ya biashara gani nifanye kwa nyakati hizi, kwa location napatikana jijini Dar es salaam Pugu
nawasilisha