jaman tuache kukatishana tamaa,ndio tunajua kaz ngumu wenyewe walisema kwenye interview so mtu ulikuwa na option ya kukubali o kukataa...mwanzo mgumu bora 70,000 kuliko kukaa nyumban bure
nimevutiwa na hii topic...mim nilishawah pata genital warts nikatumia dawa inaitwa podosal paint vikaisha..je ninaweza nikawa kwenye hatar ya kupata kansa ya kizaz?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.