Aguswe tu ndio utatambua huyo jamaa ni nani. Unafikiri UDA battalion nzima na askari mbona hawajamkamata hadi wa leo? Wanabwabwaja wakifoka eti, " Tutamkamata, tutamshughulikia, tutamfung,a bla bla bla.....". Wanajua wakimgusa tu, kwishnei.
Kwanza kabisa, Ku_deal na Rails kwa kumuondoa kabisa in wazo ambalo halipo. Akuguswa tu, patakuwa hapatoshi hapa Kenya, na sio utani.
Pili, siasa za Raila zinahujumu siasa za Ruto za Bottom-Up. Kipindi cha kampeni, Ruto alisema akishaapishwa na kuweka Biblia chini, atashughulikia mfumuko wa bei...
Hii ndivyo bei za vifurushi vya Safaricom. Hata mimi niliporudi nyumbani mwezi mmoja uliopita nilishangaa sana!
Kibongobongo, zidisha hizo bei na 20/= utapata bei ya Tzs.
Yuko poa ingawa namfanyia coaching nyumbani. Isingekuwa hivyo, anfefanya madudu tu shuleni kwa sababu pia sio walimu wrote wako poa kiingereza. Wengine wanalipua tu.
Piracy: Kenyan Forces Deal Blow to Piracy
The pacification of vast swathes of the Southern Somali region which led to the ouster of terrorist group Al Shabaab from Kismayu by Kenya Defense Forces (KDF) has dealt a severe blow to piracy in the region. The Kenya Defense Forces entered Southern...
Je, unafahamu idadi ya meli zilizokuwa zinatekwa na ma-Al'Shabaab kwa mwezi?
Na watalii waliokuwa wakitekwa na kukimbilia Somalia, kisha kuitisha ransom ya mamilioni. Hi iliathiri pakubwa sekta ya utalii. Sasa hivi je, unawasikia?
Ndio, kuna changamoto wanajeshi wetu kuuawa, lakini in hatua...
Hizo shule hapa Bongo zipo. In fact binti yangu anasoma kwenye Gov't English Medium school ila sasa tatizo, quality of education ipo chini sana. Kingine ni idadi ya wanafunzi wanaosoma kwenye hizi shule kwa kila darasa ........... wueh!!!!!!!!! Acha tu!!!
UPDATE
After more than 8 hours of surgery, I am pleased to report that the maxillofacial operation done at Kitui Referral Hospital to correct the growth on Ms. Pendo Masonga’s face was a success! We thank God
. Ms Pendo will now recuperate under close monitoring by the doctors
Daily...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.